KWANINI MWANAUME ANAWEZA KUWA NA NGUVU ZA KIUME LAKINI ANAKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA?
 
  SABABU HIZI HAPA
👉Homoni za kiume kushuka chini/kupungua,hii hupelekea homoni za kike kupanda juu{inaweza mfanya mwanaume kuanza kuwa na haiba za kike,kulegea mwili,sauti,macho na kuanza kutamani kuingiliwa kinyume na maumbile},...
👉Kuwa na zoea la kupiga punyeto/kujichua kwa muda mrefu sanaaa!
👉Utizamaji ulio kithiri wa video/picha za ngono/uchi
👉Kufanya ngono kupita kiasi na wana wake wingi sanaaa!!maishani
👉Kufanya/kufanywa tendo la ndoa kinyume na maumbile
👉Msongo wa mawazo
👉Matatizo ya kimahusiano{mke mkolofi,mzinifu,sio mtiifu....}
👉Mwanamke kuto kuwa msafi wa mwili wake na maumbile yake
👉Mwanamke kuto kudeka au kujidekeza wakati wa tendo la ndoa{Kulia kimahaba...
👉Mazingila mnayo fanyia tendo la ndoa pakiwa hakuna utulivu
👉Hofu na wasiwasi zinaweza mfanya mwanaume akose hisia za kufanya tendo la ndoa{Hofu inaweza tokana udogo wa uume,upunguvu wa nguvu za kiume yani kuwahi kumaliza tendo haraka au hofu ya kuogopa kupata magonjwa au kufumaniwa....
👉Sababu nyinginezo zinazo weza mfanya mwanaume kukosa hisia ni ulevi,uchovu na magonjwa,uzito ulio zidi...

🔥Kwa msaada zaidi wasaliana Dr.Simfukwe📲+255746641655 
#Nguvuzakiume