DALILI ZA P I D


👉Maumivu ya nyonga autumbo.

👉Maumivu wakati wa kujamiiana.

👉Uchafu usio wa kawaida kutoka ukeni.

👉 Homa.  

    

                    MATIBABU YA P I D


   PID hutibiwa kwa antibiotiki maalumu💊💉,baada ya kuthitishwa🔬 na mtalaamu wa afya👓

Utambuzi na matibabu ya mapema ni muhimu katika kuzuia madhara ya kupata utasa na kifo


Kwa elimu zaidi na ushauli call📲+255746641655 


Au bonyeza link hii kuja wattsap👍https://bit.ly/3XgpzOD