MADHALA/MAUDHI YA KUTUMIA VIDONGE VYA P2 KWA MWANAMKE:


👉Kichefuchefu

👉kutapika

👉maumivu ya tumbo

👉kuchoka sana

👉mabadiliko ya uteute ukeni

👉matiti kulainika ...👉maumivu yakichwa 

 

💥Haya yanaweza tokea baada ya kumeza P2


MADHALA MENGINEYO:


👉Hedhi kuwa nzito kupita kiasi

👉chuchu kuuma

👉kukosa kabisa hedhi

👉maumivu ya nyonga

👉kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa,* ... Haya hutokea hasa ikitumika kwa muda mlefu! na inaweza pelekea mwanamke kupata ugumu wa kubeba ujauzito{Ugumba}


🔥Kwa elimu zaidi,ushauli na suluhisho📲:255746641655


Au bonyeza link hii kuja watsapp in box👉https://bit.ly/3XgpzOD