MADHARA YA SINDANO YA UZAZI WA MPANGO~DEPO💉💉💉


Wanawake wengi waliochoma sindano ya depo wanapata hedhi nyepesi. Hehdi yako inaweza kuoma kabisa endapo utaendelea kuchoma sindano kwa mwaka mzima. Wanawake wengine wanaweza kupata hedhi nzito sana na ya muda mrefu.

Madhara mengine yanayowapata wanawake wengi ni kama

👉Kichwa kuuma

👉Maumivu ya tumbo

👉uchovu

👉Kupungua kwa hamu ya tendo

👉Kuongezeka uzito hasa ukitumia zaidi ya mwaka mmoja

Madhara yanayotokea kwa wanawake wachache ni pamoja na👇

👉Kuota chunusi

👉Tumbo kujaa

👉Kutokwa jasho jingi hasa usiku

👉Kukosa usingizi

👉Maumivu ya joints

👉Kichefuchefu

👉Msongo wa mawazo 

👉Kupoteza ubora wa nywele

🔥Pia wanawake wanaotumia sindano za uzazi wa mango wanaweza kupata shida ya mifupa na

💥KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA WAKATI💥. 

🔥👉KWA MSAADA ZAIDI📲:+255746641655 Dr.Simfukwe

Au bonyeza link hii kuja inbox watsapp👍 https://bit.ly/3XgpzOD